Huzuni kijijini

Why? Why? Why her?

She was raised by her parents well

Her parents loved her very much

She was taken to school

The only hope for her parents

Now she’s no more

Alikuwa mtoto wa pekee katika hiyo familia changa

Sasa wazazi wameachwa katika huzuni

Hawajui la kufanya

Kijiji kizima kimeachwa katika huzuni

Wanaomboleza kifo cha mtoto mdogo

Mtoto hasiye na hatia

Swali ni je , Nani kanajisi huyu msichana?

Mwili wake umepatikana umetupwa kando ya mto

Uso wake umejawa na majeraha

Sehemu za siri zikona majeraha

Wazazi wake wanalia usiku kucha

Mtoto wao wa pekee amenajisiwa na kuawa

Je wazazi wake watapata haki?

Waliosababisha kitendo hicho cha kinyama watakamatwa na kutiwa baroni?

Ni huzuni tu

About the Author

Leave a Reply

You may also like these

No Related Post

error: Content is protected !!

Discover more from Osprey Empire

Subscribe now to keep reading and get access to the full archive.

Continue reading