Mpenzi mwizi

I remember very well

The way alinionyesha mapenzi

Siku za kwanza kujuana naye pale FB

Alicomment kwa posts zangu FB

Vilevile nikalike na kucomment zake

Mara that that inbox pap!

She was very beautiful girl

She looked innocent

Hips zake ziliweza

Kiuno shape ya caterpillar

Tuliongea mpaka tukaechange numbers

Tulipanga date ya week mbili

Tukakodisha chumba katika hoteli moja ya kifahari

Sikujua nia yake ni gani

Kwani aliniroga na mapenzi

Sijui Nini ilifanyika

Nilishtukia nishampea accounts zangu za pesa pamoja na passwords

Sikujua usingizi ulitoka wapi,nilijipata katika usingizi wa pono

Kuamka nilijipata uchi wa mnyama sakafuni, Tena usiku wa manane

Mwenye niliona amenipenda keshapotea

Simu yangu ilikuwa juu ya kitanda Kama imezimwa

Kuifungua , Mpesa messages nilikutana nazo

Wah! Wah! 70,000 /- zilizokuwa kwa mpesa zishatolewa

Kijasho chembamba kilitiririka, hasira zikanipanda

ATM card yangu haikuwa Tena,ilivunjwa Mara mbili

Pesa nilizokuwa nimeziifadhi hazikuweko Tena

Huo ndio ulikuwa mwisho wa utajiri wangu

Niliachwa maskini hohe hahe

I regret why I disclosed my accounts to that stranger

She blocked me in very social media,Tena mteja hapatikani

Woooi woooi woooi

Pesa zenye niliweka za kununua kichaka zishakwenda

Maskini mimi

Masaibu yaliniandama

Kazi nikafutwa kwa kuchelewa kufika

Sina mbele wala nyuma ,umaskini umenikaribisha

Bona nilipenda mwizi

Aki surely nitafanya aje

Kilio nimelia

Machozi nimetoa

Moyoni nimehuzunika

©Januaris Musyoka

About the Author

Leave a Reply

You may also like these

No Related Post

error: Content is protected !!

Discover more from Osprey Empire

Subscribe now to keep reading and get access to the full archive.

Continue reading